MBUNGE WA CHALINZE RIZIWANI KIKWETE AMPONGEZA RAIS SAMIA NA WADAU KWA KUHAKIKISHA ZAO LA MKONGE LINAKUWA LA UHAKIKA

Mbunge wa Chalinze Riziwani Kikwete mempongeza Rais Samia Suluhu Hassan na Wadau wote kwa kuhakikisha zao la Mkonge linakuwa zao la uhakika. ilikuwa ni katika Mkutano wa Wadau wa zao hilo uliofanyika mkoani Morogoro, Ifuatayo ni sehemu ya Hotuba ya Mbunge huyo, tafadhali msikilize ili umsikie vizuri akitiririka, Bofya Hapo👇🏻
Post a Comment