Featured

    Featured Posts

BASI LA ABOOD LATEKETEA KWA MOTO

Basi lenye namba za usajili T 877 DJP mali ya kampuni ya Abood linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Morogoro limeteketea kwa moto katika eneo la Chalinze mkoani Pwani baada ya kupata hitilafu ya umeme. Hakuna madhara kwa binadamu yaliyotokea.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana