Basi lenye namba za usajili T 877 DJP mali ya kampuni ya Abood linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Morogoro limeteketea kwa moto katika eneo la Chalinze mkoani Pwani baada ya kupata hitilafu ya umeme. Hakuna madhara kwa binadamu yaliyotokea.



Post a Comment