Featured

    Featured Posts

SIKILIZA UJUMBE MARIDHAWA KUTOKA KWA CHONGOLO

 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Komredi Daniel Chongolo akiihimiza serikali kuharakisha kukamilisha ujenzi wa Gridi ya Umeme ya Taifa kwenda mkoani Katavi.


Aidha, Komredi Chongolo ameagiza kukamilisha haraka malipo ya fidia kwa wananchi waliopisha ujenzi wa mradi huo.


Chongolo alitoa maagizo hayo wakati wa ziara yake  ya siku 5 katika Mkoa wa Katavi iliyoanza Oktoba 2 hadi 7, 2023.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana