Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Komredi Daniel Chongolo akiihimiza serikali kuharakisha kukamilisha ujenzi wa Gridi ya Umeme ya Taifa kwenda mkoani Katavi.
Aidha, Komredi Chongolo ameagiza kukamilisha haraka malipo ya fidia kwa wananchi waliopisha ujenzi wa mradi huo.
Chongolo alitoa maagizo hayo wakati wa ziara yake ya siku 5 katika Mkoa wa Katavi iliyoanza Oktoba 2 hadi 7, 2023.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
Post a Comment