Featured

    Featured Posts

WAZIRI MHAGAMA ATEMBELEA BANDA LA TBS MAONESHO YA BARAZA LA UWEZESHAJI LA TAIFA MKOANI SIMIYU


Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama (wa pili kushoto) akipatiwa  maelezo na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano cha Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Roida Andusamile (wa pili kulia) kuhusu shirika hilo linavyowahudumia Wajasiriamali wakati wa kilele cha  Maonesho ya Baraza la Uwezeshaji la Taifa yaliyofanyika mkoani Simiyu kuanzia Oktoba 14 hadi 20 mwaka huu.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana