Featured

    Featured Posts

KATIBU MKUU WA CCM DK. BASHIRU AWASILI KISIWANI PEMBA, LEO

Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally, leo asubuhi Desemba 2, 2019 amewasili kisiwani Pemba kwa jili ya ziara ya siku tatu akitokea Kisiwani Unguja alikohitimisha ziara yake ya siku sita, jana jioni.

Ziara hiyo inalenga kuimarisha Uhai wa Chama, kukagua miradi na kuimarisha mahusiano baina ya Chama na Serikali na kuendelea kukifanya Chama kuwa karibu zaidi na wananchi.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana