Mengi mwa maambukizi hayo yanaunganishwa na mikusanyiko ya ibada za kidini. Hadi sasa nchini humo kumeripotiwa vifo tisa na maambukizi 1,183.
Kwa ujumla, eneo la Asia ya Kusini-mashariki limerekodi maambukizi 3,200, ambapo maeneo mengine ni Thailand, Indonesia, Singapore na Ufilipino.
Serikali ya Malaysia imeamua kutumia jeshi baada baadhi ya watu kuendelea kukaidi vizuizi vilivyowekwa Jumatano. Na waziri wa ulinzi kasema utekelezaji wa kijeshi utaanza mchana wa leo.
Post a Comment