Featured

    Featured Posts

DEREVA BODABODA APATA AJALI

 Askari wa Usalama Barabarani akipima ajali iliyotokea Barabara ya Kilwa eneo la Mivinjeni Dar es Salaam jana iliyohisishwa na Gari lenye Namba za Usajili T 146 ACS kumgonga mwendesha Pikipiki yenye namba za Usajili  MC 919 CKY akitokea upande wa JKT na Dereva wa Gari hilo akijaribu kukatiza marabara eneo hilo la ajali kwa mujibu wa mashuhuda eneo la tukio. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Wasamaria wema wakijaribu kumbeba na kumuingiza katika Gari lenye Namba za Usajili T 146 ACS Dereva wa Pikipiki yenye namba za Usajili  MC 919 CKY na kukimbizwa hospitali.
 Askari wa Usalama Barabarani akiwa na wananchi eneo la tukio. 
 Askari wa Usalama Barabarani akipima ajali
 Wananchi wakimuangalia  Dereva wa Pikipiki yenye namba za Usajili MC 919 CKY akiwa amelala chini baada ya kupata ajali ya kugongwa na Gari lenye Namba za Usajili T 146 ACS
 Dereva wa Pikipiki yenye namba za Usajili MC 919 CKY akiwa amelala chini baada ya kupata ajali ya kugongwa na Gari lenye Namba za Usajili T 146 ACS



author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana