Featured

    Featured Posts

MAREKANI YAZIDI KUONGOZA KWA WAGONJWA WENGI WA CORONA DUNIANI

Waombolezaji katika mazishi mjini New York huku visa vya virusi vya corona katika mji huo vikiongezeka kwa siku ya tatu mfululizo.


Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionWaombolezaji katika mazishi mjini New York huku visa vya virusi vya corona katika mji huo vikiongezeka kwa siku ya tatu mfululizo.

New York state sasa ina visa vingi vya virusi vya corona zaidi ya taifa lolote duniani , kulingana na takwimu mpya.
Serikali imethibitisha kwamba idadi ya visa vya ugonjwa huo imeongezeka kutoka 10,000 siku ya Alhamisi hadi 159, 937 na kuiweka mbele ya Uhispania ilio na visa 153,000 na Itali ilio na visa 143,000.
China ambapo virusi hivyo vilianza mwaka uliopita iliripoti visa 82,000. Marekani yote imerekodi visa 462,000 na takriban vifo 16,500.
Kote duniani kuna takriban visa milioni 1.6 na vifo 95,000.
Huku Jimbo la New York likiongoza ulimwengu katika visa vya maambukizi , takriban watu 7000 wamefariki katika mji huo , ikiwa nyuma ya Uhispania ilio na vifo 15,500 na Itali ilio na 18,000 ikiwa ni mara mbili ya vifo vya China 3,300.
Picha zimeonekana za watu waliovalia magwanda ya kujikinga dhidi ya virusi vya corona wakiwazika watu walioifariki katika kaburi kubwa la pamoja mjini New York.

Picha zilizochukuliwa kutoka juu zilionyesha miili ikizikwa katika kaburi moja kubwa la pamoja katika kisiwa cha Hart mjini New YorkHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionTakriban majeneza 40 yalizikwa siku ya Alhamisi

Picha zilizochukuliwa na kamera za juu zilionyesha wafanyakazi wakitumia ngazi kuingia katika kaburi hilo kubwa ambapo majeneza hayo yalikuwa yamewekwa.
Picha hizo zilichukuliwa katika eneo la Hart Island kando ya mji wa Bronx , ambao umekuwa ukitumika kwa zaidi ya miaka 150 na maafisa wa baraza la mji kama eneo la makaburi ya pamoja kwa wale wasio na familia na wasioweza kumudu mazishi.
Operesheni za mazishi katika eneo hilo zimeongezeka kutokana na mlipuko wa virusi kutoka siku moja kwa wiki hadi siku tano kwa juma, kulingana na Idara magereza.
Wafungwa kutoka kisiwa cha Rikers ndio ambao wamekuwa wakifanyakazi hiyo, lakini ongezeko la kazi limefanya kazi hiyo kuchukuliwa na wanakandarasi.
Meya wa mji wa New York Bill De Blasio amesema mapema wiki hii kwamba maziko ya umma ya mji huo huenda yakatumika wakati wa mlipuko huu.
Ukweli ni kwamba tumetumia Kisiwa cha hart kwa muda mrefu., alisema.
Idadi ya vifo vya virusi vya corona mjini New York viliongezeka hadi 799 siku ya Jumatano , ikiwa ni rekodi kwa siku ya tatu mfululizo.

Banner

Dkt Anthony Fauci, mwanachama wa jopo la Ikulu ya Whitehouse kuhusu virusi vya corona , aliambia NBC , kipindi cha leo kwamba idadi ya mwisho ya Wamarekani ambao watafariki kutokana na virusi vya corona huenda ikafikia 60,000.
Mwisho wa mwezi Machi Dkt Fauci alikadiria kwamba kati ya watu 100,000 na 200,000.
Utabiri huo wa 60,000 ulitarajiwa kufikia idadi ya vifo vyote vinavyosababishwa na Flu nchini humo kati ya Oktoba 2019 hadi Machi 2020 kulingana na data ya serikali.
Lakini makamu wa rais Mike Pence alisisitiza siku ya Alhamisi kwamba maambukizi ya Covid -19 ni mara tatu yale ya Flu.

Picha zilizochukuliwa kutoka juu zilionyesha miili ikizikwa katika kaburi moja kubwa la pamoja katika kisiwa cha Hart mjini New YorkHaki miliki ya pichaREUTERS

Ikulu ya Whitehouse ilikuwa imesema kwamba huenda Wamarekani milioni 2.2 wakafariki kutokana na virusi vya corona iwapo hatua hazitachukuliwa.
Agizo la kusalia nyumbani wakati huohuo limefunga bishara zisizo muhimu katika majimbo 42 huku likipunguza kasi ya uchumi wa taifa hilo.
Data mpya siku ya Alhamisi ilionyesha ukosefu wa ajira uliongezeka hadi milioni 6 kwa wiki ya pili mfululizo , ikiongeza idadi ya Wamarekani ambao hawako kazini katika kipindi cha wiki tatu zilizopita kufikia milioni 16.8.
Wakati huohuo Chicago imeweka amri ya kutouzwa kwa pombe kuanzia saa tatu siku ya Alhamisi ili kuzuia ukiukaji wa marufuku ya kupiga marufuku mikutano ya watu wengi.

Ramani ya Coronavirus: Kasi ya kusambaa kwa virusi 10 Aprili 2020

Maelezo haya yanatokana na data za mara kwa mara kutoka Chuo kikuu cha Johns Hopkins na huenda yasiangazie hali halisi ya mambo yalivyo katika kila nchi.
Jumla ya visa vilivyothibitishwa Jumla ya vifo
1,570,858 95,736


Visa Vifo
Marekani 465,161 16,650
Uhispania 153,222 15,447
Italia 143,626 18,279
Ujerumani 118,235 2,607
France 86,334 12,210
Uchina 82,924 3,340
Iran 66,220 4,110
Uingereza 65,077 7,978
Uturuki 42,282 908
Belgium 24,983 2,523
Uswizi 24,051 948
Netherlands 21,764 2,396
Canada 20,747 509
Brazil 18,176 957
Ureno 13,956 409
Austria 13,244 295
Korea Kusini 10,450 208
Urusi 10,131 76
Israel 9,968 86
Sweden 9,141 793
India 6,725 227
Ireland 6,574 263
Norway 6,219 108
Australia 6,152 52
Chile 5,972 57
Denmark 5,635 237
Poland 5,575 174
Jamuhuri ya Czech 5,569 112
Japan 5,530 99
Peru 5,256 138
Romania 5,202 248
Ecuador 4,965 272
Kashmir inayotawaliwa na Pakistan 4,601 66
Malaysia 4,228 67
Ufilipino 4,076 203
Mexico 3,441 194
Indonesia 3,293 280
Saudi Arabia 3,287 44
Luxembourg 3,115 52
Milki za Kiarabu 2,990 14
Serbia 2,867 66
Panama 2,752 66
Finland 2,605 42
Thailand 2,473 33
Qatar 2,376 6
Jamuhuri ya Dominica 2,349 118
Colombia 2,223 69
Ugiriki 1,955 87
Afrika Kusini 1,934 18
Singapore 1,910 6
Argentina 1,894 79
Ukrain 1,892 57
Misri 1,699 118
Algeria 1,666 235
Iceland 1,648 6
Belarus 1,486 16
Croatia 1,407 20
Morocco 1,374 97
Moldova 1,289 29
New Zealand 1,283 2
Iraq 1,232 69
Estonia 1,207 24
Slovenia 1,124 43
Lithuania 999 16
Hungary 980 66
Azerbaijan 926 9
Armenia 921 10
Kuwait 910 1
Bahrain 887 5
Bosnia na Herzegovina 858 35
Cameroon 803 12
Kazakhstan 802 9
Mili ya Diamond Princess 712 11
Slovakia 701 2
Puerto Rico 683 33
Macedonia Kaskazini 663 30
Tunisia 643 25
Bulgeria 618 24
Latvia 589 3
Andorra 583 25
Uzbekistan 582 3
Lebanon 582 19
Cyprus 564 10
Costa Rica 539 3
Cuba 515 15
Afghanistan 484 15
Uruguay 473 7
Oman 457 3
Cote d'voire 444 3
Burkina Faso 443 24
Niger 410 11
lbania 409 23
Honduras 382 23
Taipei ya China 380 5
Ghana 378 6
Jordan 372 7
Kisiwa cha Reunion 362
Malta 337 2
San Marino 333 34
Bangaldesha 330 21
Mauritius 314 7
Kyrgystan 298 5
Nigeria 288 7
Bolivia 268 19
Maeneo ya Wapalestina 263 1
Vietnam 255
Montenegro 252 2
Senegal 250 2
Georgia 218 3
Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo 215 20
Guinea 194
Guernsey 191 5
Sri Lanka 190 7
Isle of Man 190 1
Kosovo 184 5
Kenya 184 7
Mayotte 184 2
Visiwa vya Faroe 184
Jersey 183 3
Venezuela 171 9
Martinique 154 6
Guadeloupe 143 8
Djibouti 140 1
Brunei Darussalam 135 1
Paraguay 129 6
Guam 128 4
Guatemala 126 3
Gibraltar 123
Cambodia 119
Rwanda 113
Trinidad and Tobago 109 8
El Salvador 103 6
Madagascar 93
Monaco 84 1
Guiana ya Ufaransa 83
Aruba 82
Liechtenstein 78 1
Mali 74 7
Togo 73 3
Barbados 66 3
Jamaica 63 4
Congo 60 5
Ethiopia 56 2
Uganda 53
Polynesia ya Ufaransa 51
Netherlands Antilles 50 8
Visiwa vya Virgin vya Marekani 50 1
Bermuda 48 4
Visiwa vya Cayman 45 1
Gabon 44 1
Bahamas 41 8
Zambia 39 1
Guyana 37 6
Guinea_Bissau 36
Eritrea 33
Saint Martin (Eneo la Ufaransa) 32 2
Liberia 31 4
Haiti 30 2
Myanmar 27 3
Benin 26 1
Tanzania 25 1
Libya 24 1
Syria 19 2
Angola 19 2
Antigua na Barbuda 19 2
Maldivers 19
Equitorial Guinea 18
New Caledonia 18
Mozambique 17
Mongolia 16
Dominica 16
Jamuhuri ya kidemokraia ya watu wa Lao 16
Fiji 16
Namibia 16
Sudan 15 2
Netherlands Antilles 14 1
Saint Lucia 14
Botswana 13 1
Somalia 12 1
Grenada 12
St St Vincent na Gradines 12
Eswatini 12
Chad 11
Saint Kitts na Vevis 11
Visiwa vya Kaskazini vya Mariana 11 2
Greenland 11
Zimbabwe 11 3
Ushelisheli 11
Suriname 10 1
Mili ya MS Zaandam 9 2
Nepal 9
Montserrat 9
Belize 9 1
Jamuhuri ya Afrika ya Kati 8
Malawi 8 1
Vatican 8
Turks nad Visiwa vya Caicos 8 1
Cape Verde 7 1
Nicaragua 7 1
Sierra Leone 7
Mauritania 7 1
Saint Barthélemy 6
Visiwa vya Falkland 5
Bhutan 5
Gambia 4 1
Milki ya Magharibi mwa Sahara 4
Sao Tome and Principe 4
Sudan Kusini 3
Burundi 3
Visiwa vya Virgin vya Uingereza 3
Anguilla 3
Papua News Guinea 2
Yemen 1
Timor_Leste 1
Saint Pierre na Miquelon 1


Chanzo: Chuo kikuu cha Johns Hopkins (Baltimore, Marekani), maafisa wa eneo
Mara ya mwisho kufanyiwa mabadiliko 10 Aprili 2020, 07:00 GMT +1.

Mada zinazohusiana

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana