Featured

    Featured Posts

RAIS MAGUFULI ATENGUA NA KUTEUA LEO

Ikulu, Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amemteua Luteni Kanali Patrick Kenani Sawala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani ambaye anachukua nafasi ya Juma Njwayo ambaye uteuzi wake umetenguliwa na  uteuzi huo unaanza leo tarehe 30 Julai, 2020.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana