Featured

    Featured Posts

SHOMARI KAPOMBE ALIPOFANYIWA VIPIMO LEO BAADA YA KUUMIA JANA KWENYE MECHI DHIDI YA AZAM FC TAIFA


Daktari akimfanyia vipimo vya kina (MRI) beki wa Simba SC, Shomari Kapombe baada ya kuumia jana kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Azam FC Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0 na Kapombe imeelezwa anaendelea vizuri

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana