Featured

    Featured Posts

SIMBA SC WAWASILI MTWARA TAYARI KUWAVAA NDANDA SC KWENYE MECHI YA LIG KUU JUMAPILI NANGWANDA


Mshambuliaji Mganda wa Simba SC, Meddie Kagere akishangiliwa na mashabiki baada ya timu kuwasili Mtwara leo kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Ndanda SC Jumapil Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini humo 
Kiungo Mzambia wa Simba SC, Clatous Chama akishangiliwa na mashabiki baada ya timu kuwasili Mtwara leo 
Kiungo kutoka Msumbiji, Luis Miquisone akipenya kwenye umat wa mashabiki baada ya timu kuwasili Mtwara leo 

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana