Mshambuliaji Mganda wa Simba SC, Meddie Kagere akishangiliwa na mashabiki baada ya timu kuwasili Mtwara leo kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Ndanda SC Jumapil Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini humo
Kiungo Mzambia wa Simba SC, Clatous Chama akishangiliwa na mashabiki baada ya timu kuwasili Mtwara leo
Kiungo kutoka Msumbiji, Luis Miquisone akipenya kwenye umat wa mashabiki baada ya timu kuwasili Mtwara leo
Post a Comment