Featured

    Featured Posts

TAASISI YA HAK YA UTURUKI YATOA MKONO WA EID ALHAJI KITUO CHA YATIMA RUFUJI


Mwakilishi wa Taasisi ya HAK Humanitarian Aid Organization   kutoka nchini uturuki, Murat Ayidin akimkabidhi mtoto mkono wa Eid Alhaji walipotembelea kituo cha Yatima Rufiji ambapo pia walikabidhi nguo kwa ajili ya sherehe ya sikukuu ya Eid Alhaji.

Mwakilishi wa Taasisi ya HAK Tanzania, akimkabidhi mtoto mkono wa Eid Alhaji walipotembelea kituo cha Yatima Rufiji ambapo pia walikabidhi nguo kwa ajili ya sherehe ya sikukuu ya Eid Alhaji.



Mwakilishi kutoka Taasisi ya HAK Tanzania  na HAK Uturuki, Murat Ayidin wakiangalia bweni lililoungua la Shule ya Ummu Salama, Utete Rufiji jana,  kuona jinsi gani wanaweza kusawaidia kukarabati. PICHA NA ASHARCK MIRAJI.


author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana