Featured

    Featured Posts

RAIS MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA WA DUMILA DARAJANI MOROGORO WAKATI AKIELEKEA MKOANI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dr John Magufuli  ameahidi kufanya upanuzi wa barabara na kujenga vibanda vya Wajasiriamali katika eneo la Dumila, Wilaya ya Mvomelo Mkoani Morogoro. 

Pia alipewa mhindi na kuula palepele wakati akiwa safarini kutoka Dar kuelekea Dodoma.(Picha:IKULU)

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana