Featured

    Featured Posts

MIILI 10 YA WANAFUNZI WALIOFARIKI KWA MOTO WAAGWA KAGERA

 

Miili ya waliokuwa wanafunzi 10 wa Shule ya Msingi ya Byamungu Islamic Seminary ya Kyerwa mkoani Kagera waliofariki Septemba 14 mwaka huu kwa ajali ya moto ulioteketeza bweni walilokuwa wamelala tayari inaagwa na kukabidhiwa kwa ndugu zao kwa ajili ya taratibu za mazishi.

       

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana