Featured

    Featured Posts

POLISI WANAOENDA KWENYE ULINZI WA AMANI NCHINI SUDAN WAAGWA LEO JIJINI DODOMA

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Kamishna wa Polisi (CP) Liberatus Sabas, akimsalimia WP Kirsten Said alipokuwa akiwaaga Askari wanaoenda Sudan kwenye Ulinzi wa amani,  Makao Makuu ya Polisi Jijini Dodoma, leo.
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Kamishna wa Polisi (CP) Liberatus Sabas na SACP Lenata Mzinga(kulia) wakiwakabidhi Bendera ya Tanzania, Maafisa wa Polisi wanaenda kwenye Ulinzi wa Usalama wa Amani nchini Sudani, kabla ya kuanza safari, Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Jijini Dodoma (Picha zote na Jeshi la Polisi)
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana