Featured

    Featured Posts

MAMA SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA SEKTA BINAFSI KUMPONGEZA JPM KWA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA SEKTA HIYO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akihutubia  mkutano wa Sekta Binafsi kwa ajili ya kumpongeza  Rais  wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Dkt. John  Magufuli  kwa kazi nzuri na mafanikio yaliyopatikana katika kipindi chake cha miaka mitano ya Uongozi wake kuanzia 2015/2020, katika  ukumbi wa kimataifa wa mikutano  wa Julius Nyerere Jjijini Dar es salaam leo Octoba 18,2020. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana