Featured

    Featured Posts

POLEPOLE AWANADI GWAJIMA NA RWEGASIRA KATIKA JIMBO LA KAWE, LEO JIONI

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Humphrey Polepole akiwanadi Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima (kushoto) na Mgombea Udiwani Kata ya Makongo Ndugu Rwegasira katika Mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo eneo la Makongo Juu, Jimbo la Kawe, Dar es Salaam. Picha nyingine za taswira ya mkutano huo hizo hapo👇












 KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana