Featured

    Featured Posts

RAIS MAGUFULI APIGA KURA CHAMWINO DODOMA



Rais wa Tanzania Dk. John Magufuli ambaye amegombea kiti hicho kupitia CCM, akipiga kura yake Chamwino, Dodoma.

Baada ya kupiga Dk. Magufuli amesema,

"Nawapongeza Watanzania kwa kuiona siku hii ya leo muhimu, naona maandalizi yalikuwa mazuri nimepiga kura mimi na mke wangu".

"Nasisitiza amani tuendelee kuitunza Watanzania kwa sababu kuna maisha baada ya uchaguzi"

Magufuli anawania muhula wa pili.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana