Featured

    Featured Posts

Video: VIKOSI VYA WATU 400 VYATUA KUSAIDIA UZIMAJI MTO MLIMA KILIMANJARO

 

Vikosi vya watu 400 vyatua mlima Kilimanjaro kupambana na moto

on

Vikosi vya watu mia nne vimefika katika eneo la Wona lililopo eneo la mlima kilimanjaro kwa ajili yakukabiliana na janga la moto lililotokea eneo hilo ambapo hadi hivi sasa chanzo bado hakijajulikana

Kamishna msaidizi mwandamizi mawasiliano kutoka Mamlaka ya hifadhi za taifa (TANAPA) Paschal Shelutete amesema wakati jitihada za kuuzima moto huo zikiendelea shughuli za utalii kwenye mlima hazijasitishwa

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana