Featured

    Featured Posts

MAJALIWA APONGEZWA NA WABUNGE KUWA WAZIRI MKUU

Wabunge wakimpongeza Kassim Majaliwa baada ya kuthibitishwa na Bunge kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa miaka mingine mitano, bada ya jina lake kupendekezwa na Rais John  Magufuli Novemba 12, 2020.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Waziri Mkuu Mteule, Kassim Majaliwa akitoa neno la shukrani baada ya jina lake kuthibitishwa na Bunge kuwa Waziri Mkuu.



Kassim Majaliwa akipongezwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Profesa Adelardus  Kilangi baada ya kuthibitishwa na Bunge kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana