RAIS DK. MAGUFULI ASHIRIKI MISA YA DOMINIKA YA 32 MWAKA 'A' KATIKA PAROKIA YA BIKIRA MARIA IMAKULATA CHAMWINO IKULU, DODOMA, LEO
![](http://img2.blogblog.com/img/icon18_edit_allbkg.gif)
Rais Dk. John Magufuli akipokea Sakramenti Takatifu toka kwa Padre Paul Mapalala waliposhiriki Misa ya Dominika ya 32 Mwaka "A" katika Parokia ya Bikira Maria Imakulata Chamwino Ikulu Dodoma leo Jumapili Novemba 8, 2020. Kushoto ni Mama Janet Magufuli akisubiri naye kupokea sakramenti hiyo. (Picha na Ikulu).
Post a Comment