Featured

    Featured Posts

RAIS DK. MAGUFULI ASHIRIKI MISA YA DOMINIKA YA 32 MWAKA 'A' KATIKA PAROKIA YA BIKIRA MARIA IMAKULATA CHAMWINO IKULU, DODOMA, LEO

Rais Dk. John Magufuli akipokea Sakramenti Takatifu toka kwa Padre Paul Mapalala waliposhiriki Misa ya Dominika ya 32 Mwaka "A" katika Parokia ya Bikira Maria Imakulata Chamwino Ikulu Dodoma leo Jumapili Novemba 8, 2020. Kushoto ni Mama Janet Magufuli akisubiri naye kupokea sakramenti hiyo. (Picha na Ikulu).
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana