Featured

    Featured Posts

SIKUKUU 'YAKAUSHA' MAGARI BARABARA ZA JIJI LA DODOMA

Barabara ya Nyerere ambayo siku za kawaida imeanza kuwa na msongamano wa magari hasa baada ya serikali na baadhi ya taasisi zake  kuhamia katika jiji hilo ambalo ni Makao Makuu ya Nchi, linaoonekana lkiwa wazi siku mbili za sikukuu ya Krismasi na Boxing Day kufuatia kupungungua kwa  magari na vyombo  vingine vya moto uliotokana na  wengi wa wakazi wa jiji hili kwenda likizo na wengine kubaki majumbani kwao kusherekea sikukuu. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA


Hata baadhi ya barabara zingine za mitaa ya jiji hilo zilikuwa wazi kama unavyoziona

 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana