Featured

    Featured Posts

TAASISI YA HAKI HUMANITARIAN YATOA MSAADA WA MBUZI KWA WALEMAVU NA WAJANE TABORA

Muakilishi wa taasisi ya HAKI humanitarian aid association shabani mlongkweli akitoa semina juu ufugaji mbuzi ili kujikimu na hali ya kiuchumi kwa wanawake walemavu na wajane Mkoa wa Tabora. Mbuzi hao majike na madume wametolewa na taasisi hiyo lengo ni kuwasaidia  ili waweze kuzalisha na kujipatia kipato. PICHA NA ASHRACK MIRAJI


 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana