Featured

    Featured Posts

MWASISI WA KAMPUNI YA AMAZON AJIUZULU

 


Mwanzilishi wa kampuni ya Amazon, Jeff Bezos amejiuzulu katika wadhifa wake wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo ya biashara ya mtandaoni ambapo nafasi yake sasa itachukuliwa na Andy Jassy, ambaye kwa sasa anaongoza biashara ya uhifadhi wa data.

Taarifa iliyotolewa na Andy Jassy imeeleza kuwa Bezos atakuwa mwenyekiti wa kampuni hiyo na atashiriki kimamilifu katika shughuli zote za kuiongoza kampuni hiyo.

Aidha Jassy ameeleza kuwa mabadiliko hayo yatafanyika katika kipindi cha nusu ya pili cha mwaka 2021.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana