Featured

    Featured Posts

RAIS SAMIA NA DKT. MWINYI WATOA SALAMU ZA PASAKA

 
  Ikiwa leo April 4, 2021 Wakristo wa Tanzania wanaungana na wenzao duniani kuadhimisha sikukuu ya Pasaka ambayo KikrIsto ni maadhimisho ya kuteswa kufa na kufufuka kwa mwokozi wao yaani Yesu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewatakia heri.


Salamu hizo za Pasaka amezitoa kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Twitter ambapo amewaasa kuendelea kuliombea taifa kudumisha upendo, amani na mashikamano.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana