Featured

    Featured Posts

MBUNGE CONDESTER AIOMBA SERIKALI KUJENGA SKIMU ZA UMWAGILIAJI, MAGALA KUINUA KILIMO MOMBA+video

Mbunge wa Momba, Condester Sichalwe ameiomba Wizara ya Kilimo kufanya mkakati wa kujenga skimu za umwagiliaji  na maghala ya kuhifadhia mazao katika mashamba mbalimbali yaliyopo jimboni mwake ili kuinua kilimo.

 

 Ombi hilo amelitoa alipokuwa akichangia mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Kilimo katka mkutano wa 12, Kikao cha 35 cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma, Mei 24,2021.

 

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mbunge Condester akilipambania jambo hilo.....

Imeandaliwa na Richard Mwaikenda 

Mhariri Blog ya Taifa ya CCM

 075424203

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana