Featured

    Featured Posts

DKT SAMIZI AIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA MUHAMBWE+video

 Mbunge mpya wa Jimbo la Muhambwe, mkoani Kigoma, Dkt  Florence Samizi ameiomba serikali kuifanyia ukarabati miundombinu ya barabara jimboni humo ili kurahisisha mawasiliano na hasa usafiri.

Pamoja na mambo mengine Mbunge Samizi ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti Kuu ya Serikali bungeni Dodoma.

Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video mbunge huyo akipambania maendeleo ya jimbo hilo....

Imeandaliwa na Richard Mwaikenda

 Mhariri Blog ya Taifa ya CCM

 075424203

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana