Featured

    Featured Posts

KENYATA: HAKUNA MKENYA ATAKAYE LAZIMISHWA CHANJO

 

Rais Uhuru Kenyatta amesema hakuna Mkenya atakayelazimishwa kupata Chanjo ya #CoronaVirus ambayo itatolewa bure na Serikali kwa watu wazima

Amesema baadhi ya Wananchi wameibua mijadala kuhusu Chanjo na madhara yake akisisitiza licha ya kwamba hazitakuwa lazima, Elimu kuhusu suala hilo ni muhimu

Kenya inalenga kutoa Chanjo kwa watu wazima wote ambao idadi yao ni Milioni 26 hadi kufikia katikati ya 2022, huku Milioni 10 wakipata chanjo kufikia Desemba 2021

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana