Featured

    Featured Posts

RAIS MOKGWEESTSI KEABETSWE WA BOTSWANA KUWASILI NCHINI LEO

 

Rais wa Jamhuri ya Botwana Mokgweetsi Eric Keabetswe anatarajiwa kuwasili nchini leo Juni 10, 2021, kuanza ziara ya siku mbili kufuatia mwaliko wa Rais Samia Suluhu Hassan.


Taarifa iliyopo kwenye ukurasa wa Twitter wa Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) imesema, Rais Mokgwetsi (pichani), atawasili mda wa saa 4 asubuhi.


author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana