Featured

    Featured Posts

SHERIA YA BOMBA LA MAFUTA KUTOKA UGANDA-TANZANIA INA MASLAHI MAKUBWA KWA TAIFA-RIDHIWANI KIKWETE

Mbunge wa Jimbo la Chalinze, mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete akichangia bungeni kuhusu muswada wa Sheria ya Bomba la Mafuta kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanga, amesema kuwa ina maslahi makubwa kwa Tanzania. 

Muswada huo umeshapitishwa na Bunge unasubiri baraka ya kutiwa saini na Rais Samia Suluhu Hassani.

 Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Ridhiwani akichangia juu ya suala hilo bungeni....  

Imeandaliwa na Richard Mwaikenda

 Mhariri Blog ya Taifa ya CCM 

0754264203

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana