Featured

    Featured Posts

RAIS SAMIA KWENDA NCHNI RWANDA KESHO KUANZA ZIARA YA SIKU MBILI

 Ikulu, Dar es Salaam, leo

Rais Samia Suluhu Hassan, kesho Jumatatu Agosti 2, 2021 anatarajia kuondoka hapa nchini kwenda nchini Rwanda kufanya ziara ya Rasmi ya Kiserikali ya siku mbili nchini humo kufuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Paul Kagame.


Taarifa ikiliyolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Raais, Ikulu Jaffar Haniu, imesema Rais Samia pamoja na mambo mengine atafanya mazungumzo rasmi na mwenyeji wake Rais Kagame, kisha atashuhudia utiaji saini wa hati za makubaliano na kuzungumza na vyombo vya habari.


Taarifa hiyo imefafanua kuwa ziara hiyo ya siku mbili inalengakuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano baina ya Rwanda na Tanzania.

Rais Samia Suluhu Hassan
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana