Baadhi ya watoa huduma wakisikiliza kwa makini wakati Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dkt Yonaz akifungua semina hiyo.
DKT YONAZ AFUNGUA SEMINA KWA WATOA HUDUMA KWA POSTA
![](http://img2.blogblog.com/img/icon18_edit_allbkg.gif)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt Jim Jonaz akizungumza alipokuwa akifungua semina kwa watoa huduma za Posta ikiwa ni mwendelezo wa Maadhimisho ya Wiki ya Posta Duniani jijini Dodoma leo Oktoba 7,2021. la Posta Tanzania (TPC) imezindua Duka la Posta Mtandaoni ambapo inashirikiana na maduka 670 duniani. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Baadhi ya watoa huduma wakisikiliza kwa makini wakati Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dkt Yonaz akifungua semina hiyo.
Baadhi ya watoa huduma wakisikiliza kwa makini wakati Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dkt Yonaz akifungua semina hiyo.
Post a Comment