Picha 1 ni Mkuu wa Gereza Kwitanga lililopo Mkoani Kigoma Kamishna Msaidizi wa Magereza Dkt Uswege Mwakahesya akiwaonyesha Mkurugenzi wa Uhaulishaji Teknolojia wa TARI Dkt Juliana Mwakasendo pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha TARI Kihinga Dkt. Filson Kagimbo mikungu ya chikichi aina ya TENERA kutoka kwenye mchikichi uliopandwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa.[10/14, 14:01] Evelyne PR Tari: Picha ya pili ni Mkurugenzi wa Uhaulishaji Teknolojia wa TARI Dkt. Juliana Mwakasendo akishuhudia matokeo ya mchikichi wa TENERA uliopandwa na kutoa matunda ya kwanza kwa kipindi kilichotarajiwa kulingana na utafiti uliofanywa na TARI.
[10/14, 14:03] Evelyne PR Tari: Picha ya tatu ikionyesha uzao wa kwanza wa mchikichi aina ya TENERA uliopandwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika shamba la gereza Kwitanga mkoani Kigoma.
Post a Comment