Magazeti ya leo, gazeti la mwananchi, global publisher, habari leo, habari mpya, ippmedia,magazeti ya leo tanzania, magazeti ya udaku, michuzi, michuzi blog, mpekuzi huru, mwananchi, mwanaspoti,nipashe, sekretarieti ya ajira
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe, Paul Lawala akitoa ushuhuda wa jinsi alivyoamua kuacha kunywa pombe wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Akili na ya Kutokunywa Pombe Duniani iliyofanyika kitaifa katika hospitali ya Mirembe jijini Dodoma Oktoba 10,2021.
Post a Comment