Featured

    Featured Posts

NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA AHUDHURIA HAFLA YA SIKU YA MTEJA NMB DODOMA

 

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (Bara) Ndugu Christina Mndeme leo amehudhuria hafla fupi ya siku ya Mteja NMB  Tawi la UDOM akimuwakilisha Katibu Mkuu .

Naibu Katibu Mkuu amewapongeza na kuwashukuru Benki ya NMB kwa kutoa huduma bora kwa wananchi ikiwa sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya CCM ambayo imelenga kuinua wananchi kiuchumi.

Pia NHaibu Katibu Mkuu amewashauri Benki ya NMB kuongeza ATM nyingi zaidi katika maeneo mbalimbali kurahisisha huduma kwa wateja.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana