Featured

    Featured Posts

RAIS SAMIA AKUTANA NA MTOTO WAJINA WAKE, ALIYEZALIWA KATIKA HOSPITALI YA JIJI LA ARUSHA ALIYOIZINDUA LEO

 

Rais Samia Suluhu Hassan, akimsalimia mtoto Samia Yona  aliyezaliwa usiku wa kuamkia leo Oktoba 17, 2021 katika Hospitali ya Jiji la Arusha,  baada ya kuizindua rasmi Hospitali hiyo katika eneo la Chekereni Arumeru Jijini humo. Aliyempaka mtoto Samia ni Mama Mzazi  Mary Joseph mkazi wa Njiro Arusha.
Rais Samia Suluhu Hassan, akizindua rasmi Hospitali ya Jiji la Arusha katika Eneo la Njiro Arumeru Mkoani Arusha leo.
Rais Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wananchi wa Chekereni Arumeru Mkoani Arusha baada ya kutembelea na kukagua mradi wa Maji safi na Salama unaoendelea katika eneo hilo,  katika ziara yake ya kikazi mkoani humo.(Picha na Ikulu
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana