Featured

    Featured Posts

RC MTAKA AZINDUA KIAPO CHA HUDUMA KWA WATEJA NMB+video

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka (wa tatu kulia) amezindua kiapo cha huduma kwa wateja wa Benki ya NMB wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Kimataifa ya Huduma kwa Wateja jijini Dodoma leo Oktoba 4, 2021.Kutoka kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mwanahamisi Munkunda, Mbunge wa Bahi, Kollo, Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zapuna na Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde.
Baadhi ya wafanyakazi wa NMB na wageni waalikwa  wakishuhudia uzinduzi huo.


 Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video hapa chini  ujue yaliyojiri wakati wa uzinduzi huo....Imeandaliwa na Richard Mwaikenda 
Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana