Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo, imezindua maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja ambapo imewaahidi wateja wao kupunguza bei ya bidhaa zao zikiwemo simu janja. Uzinduzi huo umefanyika leo katika katika duka lao eneo la Nyerere Square jijini Dodoma. 
Baadhi ya wafanyakazi wa TIGO wakiwa na furaha wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja jijini Dodoma.Msimamizi Duka la Tigo jijini Dodoma, Sania Mwilima akielezea kuwa maadhimisho ya wiki hiyo zataenda sambamba na upunguzaji wa bei ya bidhaa zikiwemo simu janja.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tigo wakiwa na furaha
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
0754264203
Post a Comment