Featured

    Featured Posts

RAIS SAMIA APOKEA KIFIMBO CHA MALKIA

 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimkabidhi Mratibu wa Kifimbo cha Malkia (Queen’s Baton Relay) hapa nchini Bw. Hanry Tandau, kama ishara ya uzinduzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola, wakati kilipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 13 Novemba, 2021. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na viongozi mbalimbali wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo mara baada ya kupokea Kifimbo cha Malkia (Queen’s Baton Relay) chenye ishara ya uzinduzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola, wakati kifimbo hicho kilipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 13 Novemba, 2021. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo mara baada ya kupokea Kifimbo cha Malkia (Queen’s Baton Relay) chenye ishara ya uzinduzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola, wakati kifimbo hicho kilipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 13 Novemba, 2021.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana