Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kuhusu uhifadhi wa nyaraka mbalimbali alipotembelea Jengo jipya la Makumbusho katika mji mpya wa Serikali Cairo nchini Misri jana jioni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akitia saini kitabu cha kumbukumbu alipotembelea Jengo jipya la Makumbusho katika mji mpya wa Serikali Cairo nchini Misri jana jioni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akitembelea Jengo jipya la Makumbusho katika mji mpya wa Serikali Cairo nchini Misri jana jioni.
Post a Comment