Featured

    Featured Posts

MAVUNDE ASHIRIKI IBADA YA KUWEKA WAKFU VIFAA VYA MUZIKI JIJINI DODOMA

 

****************

Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde leo ameshiriki katika ibada takatifu ya kuweka wakfu vifaa vya muziki alivyokabidhi katika kanisa la Mt.Yohana,Parishi ya Mnadani Jijini Dodoma,vifaa vyenye thamani ya sh 2.5m kwa ajili ya Kwaya ya Uinjilisti.

Mbunge Mavunde ambaye aliongozana pia na Diwani wa kata ya Miyuji Mh.Beatrice Ngerangera wamechangia tofali 1200 kwa ajili ya ujenzi wa kanisa jipya.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana