Featured

    Featured Posts

MWANYIKA ATAKA SERIKALI ITIMIZE AHADI YA KUPELEKA AMBULANCE KWENYE VITUO VYA AFYA NJOMBE MJINI

 Mbunge wa Njombe Mjini, Deo Mwainyika ameiomba serikali kutimiza ahadi ya kupeleka magari ya wagonjwa (AMBULANCE) katika vituo vitatu vya afya vilivyopo Njombe Mjini ili yasaidie kutoa huduma kwa wagonjwa.

Ametoa ombi hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu kwa Ofisi ya Rais TAMISEMI bungeni Dodoma Aprili 29, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwanyika akisisitiza ahadi hiyo ya serikali....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana