Featured

    Featured Posts

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI AKIWEMO WA MSD

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan (Pichani) jana Aprili 14, 2022 amefanya uteuzi wa viongozi na watendaji mbalimbali waTaasisi za Umma ikiwepo Bohari Kuu ya Dawa ya Serikali (MSD), Rais amefanya Uteuzi huo akiwa katika ziara ya kikazi Jijini Washington DC, Marekani. Taarifa kamili ya Uteuzi huo, hiyo👇

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana