Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Nchini Dk. Anna Makakala akibadilishana mawazo na Mbunge wa Namtumbo Vita Kawawa na Mbunge wa Viti Maalum Vyuo Vikuu Dk. Thea Ntara, nje ya ukumbi, baada ya kusomwa Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani, Bungeni Jijini Dodoma, leo. (Picha na Lawi Ngambiye) |
Post a Comment