Featured

    Featured Posts

MCHECHU AUPIGA MWINGI KWA WABUNGE MIKAKATI KABAMBE YA UBORESHAJI WA NHC

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemiah Mchechu akielezea mikakati mbalimbali ya uboreshaji wa shirika hilo wakati wa semina kwa wabunge iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Msekwa, bungeni Dodoma Mei 16, 2022.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula akisema maneno ya utangulizi kabla ya kumkaribisha , Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemiah Mchechu.
Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Allan Kijazi akisalimiana na mmoja wa wabunge waliohudhuria semina hiyo.
Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu akitoa maoni na ushauri jinsi ya kuliboresha zaidi shirika hilo.
Mbunge wa Namtumbo, Vita Kawawa akitoa ushauri wake  jinsi ya kuliendeleza shirika hilo.
Mbunge wa Singida Kaskazini, Ramadhan Ighondo akitoa ushauri
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Kijazi akifafanua jambo wakati wa semina hiyo
Mbunge wa Njombe Mjini, Deo Mwanyika akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa NHC, Mchechu
Baadhi ya maafisa wa NHC
Wabunge wakisikiliza wakati Mchechu aklielezea mpango mkakati wa kuliboresha shirika hilo.




 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana