Featured

    Featured Posts

RIDHIWANI KIKWETE AMKABIDHI MAKAMU WA RAIS HATI 8 ZA MPANGO WA MATUMIZI BORA YA ARDHI+video


 

 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makzi,Ridhiwani Kikwete akimuonesha Makamu wa Rais, Dkt Philip Mpangp moja ya kati ya hati nane alizomkabidhi  kwa ajili ya Mapngo wa matumizi bora ya ardhi wakati wa ziara wilayani Tanganyika, Katavi.

                                     

 Ridhiwani Kikwete (Mb)-Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi akitoa salamu kwa wananchi wa Kijiji cha Katuma Wilayani Tanganyika wakati wa ziara ya Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango-Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mkoani Katavi#KaziIendelee#SSH.






author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana