Featured

    Featured Posts

SIKU YA MASHUJAA MKOA WA PWANI JANA

 Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge ameongoza wananchi, viongozi wa dini, Viongozi wa Chama na Serikali katika ibada maalumu ya maadhimisho ya kuwakumbuka mashujaa mbalimbali wa nchi yetu.


Ambapo maadhimisho hayo ya kuwakumbuka mashujaa kimkoa yametanguliwa na Zoezi la Viongozi hao na kufanya usafi katika kituo Cha afya cha mkoani wilayani Kibaha.


Kunenge kwenye mnara wa mashujaa uliopo katika kiwanja Cha ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo kibaha mailmoja aliweka siraha za kijadi ikiwa ni pamoja na ngao na mkuki ikiwa ni kumbukumbu ya maadhimisho ya siku ya mashujaa kimkoa.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana