Featured

    Featured Posts

ZAIDI YA MAKARANI WA SENSA 200, 000 KUANZA MAFUNZO JUMAPILI JULAI 31+video



Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt Albina Chuwa akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma  Julai 28, 2022 kuhusu kuanza kwa mafunzo kwa makarani wa sensa wa maudhui na tehema 205,000 Julai 31, 2022.

Baadhi ya maafisa wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) na wanahabari wakiwa katika mkutano huo.

PICHA NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Dkt Chuwa akielezea kuhusu mafunzo hayo....


 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana