Featured

    Featured Posts

RAIS AFANYA UTEUZI



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya teuzi zifuatazo:-
  1. Amemteua Bwana Eric Benedict Hamissi kuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL). Kabla ya uteuzi huo Bw. Hamissi alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA).
  1. Amemteua Bw. Stephen Nzohabonayo Kagaigai kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC).  Bwana Kagaigai anachukua nafasi ya Balozi Herbert E. Mrango ambaye amemaliza kipindi chake.

Teuzi hizi zinaanza mara moja.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana