Mbunge wa Chalinze, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete ameshiriki Baraza la Madiwani la Mwisho wa Mwaka na kutumia fursa hiyo kuwaasa madiwani wenzake kwamba waangalie nyuma kwa mafunzo na mbele kwa matumaini makubwa. "Chalinze yetu sote na tusonge mbele." #Chalinze #MaendeleoKwanza #BarazaMadiwani
Ridhiwani akiwa na marafiki zake wadau wa maendeleo.
Post a Comment